Related image

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi 

hatuolewi: 
 (a)Miili yetu imepitwa na wakati, 
(b)Labda 

wanadhani tutashindwa mechi. 

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?  

(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba, 

(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.  

NALILETA MEZANI TULIJADILI. Nimefanya uchunguzi 

yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake 

wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana 

kuolewa, kwa nini? 
 

Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome